a
Zek 9:15
;
1Sam 2:1
;
Isa 60:5
;
Yoe 2:23
Zechariah 10:7
7
a
Waefraimu watakuwa kama mashujaa,
mioyo yao itafurahi kana kwamba ni kwa divai.
Watoto wao wataona na kufurahi,
mioyo yao itashangilia katika
Bwana
.
Copyright information for
SwhNEN